BAADA ya watu wengi kuwa na hamu ya kutaka kumjua ‘mrithi’ wa marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kwa mwigizaji Wastara Juma ‘Wastara’, mwenyewe ameibuka na kusema mashabiki wake watamuona hivi karibuni.
![]() |
Wastara Juma ‘Wastara’. |
“Nachukia sana kuona watu wanafuatilia maisha yangu binafsi badala ya kazi, nitamuanika mpenzi wangu soon kuliko kueneza habari za uongo zinazohusu mapenzi, iwe ni Bond wanayemsema au mwingine,” alisema Wastara.
0 comments:
Post a Comment