Kesi ya Uhaini
1956
Mandela alifuzu kama wakili na kuanzisha kampuni ya kwanza
ya sheria inayomilikiwa na mtu mweusi mwaka 1952 na kuiendesha kwa
ushirikiano na Oliver Tambo, na kutoa huduma za kisheria kwa wale ambao
walikosa uwakilishi. Akihofiwa kupigwa marufuku na serikali ya ubaguzi
wa rangi, ANC ilimtaka Mandela kuhakikisha kuwa chama hicho kinaweza
kuendesha harakati zake kimya kimya. Alikamatwa mwaka 1956 na
kufunguliwa mashtaka ya uhaini yeye pamoja na wenzake 155. Baada ya kesi
yake iliyochukua miaka minne, ilitupiliwa mbali . Mnamo mwaka 1958,
Mandela alimuoa Winnie Madikizela.
2 kati ya 10
0 comments:
Post a Comment