Miaka ya Mapema
1952
Rolihlahla Mandela, mwanawe chifu, alizaliwa katika kijiji
kimoja kiitwacho, Mvezo katika mkoa wa Eastern Cape nchini Afrika Kusini
tarehe 18 Julai mwaka 1918. Alikuwa mtu wa kwanza katika familia yake
kwenda shule. Mwalimu ambaye hata hangeweza kutaja jina lake vyema,
alizoea kumuita Nelson. Alitoroka mjini Johannesburg mwaka 1941 ili
kuepuka kulazimishwa kuoa mapema. Alikutana na Walter Sisulu
aliyemsaidia kupata kazi katika kampuni ya ya Witkin Sidelsky na
Eidelma. Pia alijiunga na chama cha (ANC)
1 kati ya 10
0 comments:
Post a Comment