Pages

NEWZZZZ.. AJARI MBAYA KWA MZEE HUYU WA KIMASAI,YAMSABABISHIA KUPOTEZA MGUU WAKE KABISA.


mzee huyu wa kimasai alikuwa akijari kuvuka bara,bara kwa maana ya kuliwahigari lililokuwa na mwendo kasi na ndipo azma yake ya kuliwahi gari hilo kufifia na kukutwa na mkasa huo wakati akimaliza bara,barakuivuka.jambo lililomsababishia kupoteza mguu wake kabisa kama unavyo shuhudia kwenye picha hizo,tukio hilolimetokea usikuu huu mkoani kirimanjaro karibu kabisa na uwanja wa ndege wa kia,

0 comments:

Post a Comment